Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli nchini (TRC), Masanja Kadogosa amesema kuwa baada ya kukamilika mfumo wa tiketi treni SGR, abiria ambaye atumii simu janja (smart phone) atakuwa na uwezo wa kukata tiketi yake kidigitali.
© 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED