Bilioni 260/- za CSR Bwawa la Nyerere zilipwe na mkandarasi
UTEKELEZAJI Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) umekamilika kwa asilimia 98.8, Megawatt 1,880 zikizalishwa, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alitoa taarifa hiyo juzi.