LEO ni Siku ya Malaria Duniani ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka tangu ilipoanzishwa na nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2007 wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Afya.
Adam Fungamwango
Mwandishi
Tuntule Swebe
© 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED