Alisusa hadi penzi ila amerejea na kunivisha pete!

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 07:12 PM Oct 18 2024
Pete ya ndoa.
Picha:Mtandao
Pete ya ndoa.

Nilikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Zack, kijana mtanashati aliyevutia ajabu, mbali na hilo, alikuwa mtu ambaye anajituma na mwenye bidii katika kazi.

lifanya kazi ya upishi katika Hoteli moja Nairobi, aliwahi kuniambia kuwa utanashati wake ndio uliofanikisha kuajiriwa katika Hoteli ile ya kifahari. 

Tulichumbiana kwa muda huku naye akiwa amefurahishwa na mambo yangu kama kuwa urembo na sauti nyororo, katika mchezo wa kitandani hakuwa limbukeni kwani ni alikuwa Bingwa kila wakati tulipokuwa na mchuano. 

Hali ilikuwa shwari kwani mapenzi yetu yalidumu kwa muda wa mwaka moja na kwa kuwa nilikuwa Chuo Kikuu mwaka wa mwisho, tusingeweza kuoana wakati ule kwani masomo yangekuwa kikwazo.

Nilifahamu fika kwamba Zack alikuwa ni kijana aliyetamaniwa na kina dada wengi kwani hata kazi aliyoifanya alikutana nao.  

Siku zilipozidi kwenda mambo yalianza kubadilika kwani Zack hata alianza kutorudi nyumbani kama iliyokuwa kawaida yake kila wikendi.

Wakati mwingine pia alisusia kupokea simu zangu au zilipokelewe na mwanamke mwengine ambaye angenifokea na kuniuliza nataka nini kwa Zack. 

Jambo hili lilianza kunitia wasiwasi kwani sikuamini pendo langu kwa Zack lingeelekezwa kwingine, nilighubikwa na msongo wa mawazo kwani alikuwa ndiye mpenzi wangu wa kwanza kuwahi kumpata katika ujana wangu na sikutaka yeyote kumkaribia kwani tulikuwa na mpango wa kuoana baadaye. 

Siku moja Zack alinitembelea na niliopomuliza mbona tabia zake zilikuwa zimeanza kubadilika alisema kuwa kila kitu kilikuwa shwari almradi niweze kumwamini.

Nilifahamu fika kwamba hangekubali jambo lolote lilikuwa baya kwani pia yeye alikuwa ananipenda na kunithamini sana. 

Lakini akilini nilijua kwamba Zack alikuwa akinificha ukweli wa mambo, pia nilifahamu kuwa alikuwa keshapata mpango wa kando jambo lililonikasirisha kila wakati. 

Jinsi muda ulivyokuwa ukisonga ndivyo mambo yalikuwa yanakuwa mabaya zaidi kwani wakati mwingine hata alisusia kula uroda na mimi. 

Nilifahamu kwamba alikuwa amepata mpenzi mwingine na hapo uhusiano wetu ukaisha kwa wakati ule huku nikiachwa mpweke.

Nilikuwa na mipango ya kuolewa na Zack lakini hali ilikuwa ngumu zaidi kwani dalili zote zilihashiria hakuna chochote kingefanyika kati yangu naye. 

Nilibaki nimesononeka hata zaidi kwani wakati mwingine alipiga picha na kuweka Facebook akiwa na mpenzi wake mpya, jambo hili lilinipa Presha na hata wakati mwingine nilijaribu hata kujitia kitanzi kabla ya kuokolewa. 

Hali hii pia iliathiri masomo yangu, nilipiga moyo konde na kujiambia kwamba ningelipiza kwani upendo wangu kwake ulikuwa ni mkubwa sana lakini yeye kanilipa dharua na jeuri. 

Baada ya siku kadhaa nilikutana na tovuti ya Dk.  Bokka mtandaoni, nilifuatilia kila kitu kilichoendelea kwenye tovuti ile na hapo nikaona kuwa alikuwa na uwezo wa kunisaidia kutatua changamoto zangu.  

Siku iliyofuatia nilielekea hadi kwenye ofisi za Dk. Bokka kwa ajili ya usaidizi, alinishugulikia na nikarejea nyumbani, baada ya siku mbili Zack alinipigia simu na kuomba tukutane.

Siku iliyofuata nilienda kwake na hapo alinishangaza baada ya kuniarifu nifunge macho yangu kwa ajili ya zawadi.

Nilipofungua alikuwa ameshavisha kidole changu pete hali iliyonifanya kulia kwa upendo kwani pia yeye alikuwa amepiga magoti huku akiomba msamaha. Tangu siku ile mahusiano yetu yalikuwa imara kwani mwishowe tulifunga ndoa ya kifahari na kuwa mke na mume.

Ukiona mambo hayaendi kama unavyotaka, basi usisite kuwasiliana na Dk. Bokko kwa namba  +255618536050 , mtaalamu huyu amesaidia watu wengi ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kwa miaka mingi sasa.