Meli ya MV.Clarias inayomilikiwa na serikali iliyokuwa kwenye maegesho ya Bandari ya Mwanza Kaskazini imepinduka na kutitia majini katika Ziwa Victoria huku chanzo cha kuzama kwake kikiwa bado hakijafahamika mara moja.
© 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED