“Wanatanga kwa kweli toka jana mimi sina la kusema. Inaonesha kabisa mlikuwa na hamu ya ziara hii, kwa sababu kila ninapokanyaga umati ni mwingi kwelikweli. Nafurahi kuzungumza nanyi katika uwanja huu, uwanja wa chuo cha waalimu. Ni baraka kuwepo hapa kwa sababu mi mwenzenu walimu nawapenda sana,” Rais Samia Suluhu Hassan.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED