Maagizo ya Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Katavi Mohamed Dimwa yameanza kutekelezwa kwa kuhakikisha wabunge na Madiwani wanatekeleza ahadi walizotoa kwa wananchi kipindi wanaomba kura ikiwanipamoja na kufanya mikutano ya Jimbo na kata kuwaeleza wananchi jinsi Ilani ya Chama hicho ilivyotekelezwa kwenye maeneo yao.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED