Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amemsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) mkoani hapo Mayala Ambuli kwa madai ya ulevi na kutukana watumishi akiwemo Mkuu huyo wa Mkoa.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED