Mkurugenzi Mkuu PSSSF ashiriki mbio za hisani za HESLB

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 07:28 PM Feb 15 2025
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Abdul-Razaq Badru, pamoja na baadhi ya watumishi leo Februari 15, 2025, wameshiriki Mbio za Hisani za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).
Picha: Mpigapicha Wetu
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Abdul-Razaq Badru, pamoja na baadhi ya watumishi leo Februari 15, 2025, wameshiriki Mbio za Hisani za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Abdul-Razaq Badru, pamoja na baadhi ya watumishi leo Februari 15, 2025, wameshiriki Mbio za Hisani za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) zilizofanyika jijini Dar es Salaam.

Lengo la mbio hizo ni kukukusanya fedha kwaajili ya kutoa vifaa katika shule mbili, moja Tanzania Bara na nyingine Tanzania visiwani sambamba na kuboresha kituo cha miito cha HELSB. Waandaaji wamesema.