Sam Nujoma kuzikwa Machi Mosi

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 04:08 PM Feb 20 2025
Mwili wa hayati Sam Nujoma, ulisafiri jana kutoka Windhoek kuelekea kwenye ibada za ukumbusho wa kikanda
Picha: The Namibian
Mwili wa hayati Sam Nujoma, ulisafiri jana kutoka Windhoek kuelekea kwenye ibada za ukumbusho wa kikanda

BABA wa Taifa la Namibia na Rais wa Kwanza wa taifa hilo, Sam Nujoma, anatarajiwa kuzikwa Machi Mosi, mwaka huu.

Kwa mujibu wa chombo cha habari, The Namibian, huko Windhoek, Namibia, ibada ya mwisho ya ukumbusho itafanyika Februari 28 na kufutiwa na maziko Machi Mosi, mwaka huu.

Sam Nujoma
Kwa mujibu wa chombo cha habari, The Namibian, huko Windhoek, Namibia, ibada ya mwisho ya ukumbusho itafanyika Februari 28 na kufuatiwa na maziko Machi Mosi, mwaka huu.

Soma Nipashe Feb 21, 2025: https://epaper.ippmedia.com