Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa njia ya kusafirisha umeme ya Gridi ya Taifa kuanzia majira ya saa 8:40 usiku hivyo kusababisha baadhi ya maeneo nchini kukosa huduma ya umeme.
© 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED