Rais Samia atengua uteuzi wa RC Simiyu

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 10:52 AM Jun 11 2024
Dk. Yahaya Ismail Nawanda.
Picha: Maktaba
Dk. Yahaya Ismail Nawanda.

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, kabla ya uteuzi huo Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba na anachukua nafasi ya Dk. Yahaya Ismail Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

1