Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ameunadi mkutano wa EAPCE 25 katika Mkutano wa Msemaji Mkuu wa Serikali na Waandishi wa Habari wenye lengo la kuzungumzia mafanikio kwenye Sekta ya Nishati.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED