Mamlaka ya anga yaonya ongezeko matumizi ya 'drones'

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 05:48 PM Feb 17 2025
Drones
Picha: Mtandao
Drones

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imeonya matumizi mabaya ya ndege zisizo na rubani ‘drones’ kwa kuwa ni hatari kiusalama

Amesema miongoni mwa wanaotumia teknolojia hiyo vibaya, ni waandishi wa habari, ambao huitumia kinyume cha sheria.

Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Salim Msangi ameeleza hayo leo, Februari 17, 2025, Gereza la Karanga, Moshi, Kilimanjaro akikabidhi msaada.

Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Salim Msangi