11 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Sportsnews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

ZFA wagoma
 
2008-05-11 10:53:44
By Mwandishi Wetu, Zanzibar

Uongozi wa Chama cha soka cha Zanzibar, ZFA, umeendelea kuigomea serikali kuhama kwenye ofisi zake zilizopo Uwanja wa Amaan ili kupisha ukarabati, na sasa unataka utafutiwe ofisi nyingine.

Msemaji wa ZFA, Maulid Hamad alisema jana Jumamosi kuwa wanaendelea kuisisitizia serikali kuwatafutia ofisi yenye hadhi ya chama hicho ili waweze kuhama baada ya kutakiwa kufanya hivyo mapema mwezi uliopita.

Maulid alisema kutokana na utaratibu wa muda mrefu, serikali tangu zamani imekuwa ikitoa majengo yake na kuvipa vyama vya michezo.

  • SOURCE: Lete Raha
TODAY
-----------------------------------------------
Editorial
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.