11 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wadau wa mawasiliano kuathimisha siku yao May 17
 
2008-05-11 19:50:44
Na ITV Habari

Wadau wa mawasiliano wa hapa nchini May 17 mwaka huu wanaungana na wenzao dunani kote kuadhimisha siku ya teknolojia ya habari na mawasiliano huku nchi ikikabiliwa na athari za utandawazi pamoja na idadi ndogo ya watumiaji wa simu za mkononi ikilinganishwa na idadi ya watu waliyopo kwa sasa hapa nchini.

Mkurugenzi wa mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA Prof. Jonh Nkoma amesema takwimu za sasa zinaonesha kuwa idadi ya watumiaji wa simu za mkononi wanafikia milioni 8 sawa na asilimia 20 ya watanzania.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.