11 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Jeshi la polisi linahitaji msaada kupambana na ajali za barabarani
 
2008-05-11 19:50:02
Na ITV Habari

Jeshi la polisi limesema lipo tayari kushirikiana na taasisi yeyote ya umma na binafsi katika juhudi za kukabiliana na majanga ya ajali za barabarani zinazoongezeka na kupoteza maisha ya mamia ya watanzania.

Hayo yamesemwa na kamanda wa kikosi cha usalama barabarani kamishna masaidizi James Kombe wakati wa hafla ya kufunga na kukabidhi vyeti kwa maafisa wakaguzi wa jeshi la polisi mkoa wa Dar es Salaam.

Naye mwezeshaji wa mafunzo hayo Bw Said Seif amesema mafunzo hayo yatawawezesha polisi kuongeza ufanisi wa kukagua magari ili kupunguza ajali za barabarani.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.