|
Wafanyakazi wa serikali wametakiwa kuthamini na kuheshimu nafasi zao
2008-05-11 19:48:29
Na ITV Habari
Makamu wa rais Dr. Ali Mohamed Shein amewakumbusha wafanyakazi wa serikali kujenga utamaduni wa kuthamini na kuheshimu nafasi za kazi wanazopewa na taifa kwa kutekeleza wajibu na majukumu yao ipasavyo.
Dr. Shein ametoa rai hiyo alipiokuwa akizunguza na wafanyakazi wa ofisi yake jijini Dar es Salaam na kuagiza viongozi wa idara mbalimbli katika ofisi yake kuitisha vikao vya mara kwa mara kuzungumzia utendaji na kujitathimini.
|