11 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Vijana wametakiwa kuiga mfano wa viongozi wa dini
 
2008-05-11 19:47:44
Na ITV Habari

Spika wa bunge la Jamhuri amewashauri vijana nchini kuiga mfano wa viongozi wao wa dini ilikuondoa tabaka za kijamii na kuimarisha amani, umoja na mshikamano uliopo mingoni mwa watanzania.

Mh. Sitta ametoa rai hiyo huko Urambo mashariki mkoani tabora kwenye ibada ya upadrisho iliyofanyika katika kanisa katoliki urambo.

Katika mahubiri yake askofu mkuu wajimbo kuu la Tabora mhashamu Paulo Lusoka amewataka viogozi wa dini kuzingatia mafundisho na maadili ya dini katika kuongoza waamini kwa mifano ya matendo mema.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.