11 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Waliounguliwa na nyumba mtaa wa Sikukuu bado hawajarejea
 
2008-05-11 19:45:55
Na ITV Habari

Wakazi waliokuwa wanaishi katika nyumba iliyoungua na kusababisha kuteketea kwa bidhaa katika eneo la Sikukuu karibu na msikiti wa Mtoro bado hawajarejea katika makazi yao.

Wamesema kuwa bado eneo hilo linafanyiwa uhakiki ili kujua chanzo cha moto huo ambao uliwaka kwa zaidi ya masaa kumi katika eneo la ghala na kusababisha hasara kubwa pamoja na kufanya tathmini itakayotoa taarifa ya gharama za bidhaa zilizoteketea katika moto huo.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.