10 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Jumla ya silaha 53 zakamatwa mkoani Mbeya
 
2008-05-10 18:08:10
Na ITV Habari

Jumla ya silaha 53 zimekamatwa na zingine kusalimishwa mkoani Mbeya katika kipindi cha miezi mitatu baada ya jeshi la polisi kufanya msako wa matukio ya uhalifu katika mkoa huo.

Kamanda wa polisi mkoani Mbeya bwana Suleiman Kova amesema kuwa silaha hizo zilikamatwa wilaya za Mbozi, Mbarali, Kyela na Chunya na kwamba baadhi ya silaha hizo zimekamatwa nyumbani kwa watuhumiwa ambao tayari wamefikishwa mahakamani huku silaha zingine zikisalimishwa katika ofisi za watendaji wa vijiji.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.