09 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Utafiti wa mafuta katika maeneo kadhaa yanaonyesha mafanikio kiasi
 
2008-05-09 12:17:55
Na ITV Habari

Shirika la maendeleo ya petroli TPDC limesema makampuni yanayoendelea na utafiti wa mafuta katika maeneo kadhaa yanaonyesha mafanikio kiasi kutokana na dalili za awali zinazoonyesha kuwepo kwa mafuta katika vina virefu vya bahari.

Hayo yameelezwa na mjiolojia mkuu wa mafuta kutoka TPDC Bwana Herry Kajato wakati akielezea jitihada za harakati za utafutaji wa mafuta na gesi zinazofanywa na makampuni kumi na tisa yaliyopewa vibali na TPDC kwa ajili ya kazi hiyo.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.