08 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

China yaisaidia Tanzania kompyuta 15
 
2008-05-08 14:38:41
Na ITV Habari

Serikali ya China imetoa msaada wa kompyuta kumi na tano zenye thamani ya dola elfu 50 za kimarekani kwa serikali ya Tanzania.

Akikabidhi msaada huo balozi wa China hapa nchini Bwana Liu Xinsheng amesema msaada huo unalenga kufanikisha ustawi wa utawala bora katika ofisi za serikali nchini.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.