07 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wanaotoa huduma kwa wawekezaji nchini wahakikisha wanatoa huduma kikamilifu
 
2008-05-07 11:33:35
Na ITV Habari

Mamlaka ya ukanda wa mauzo ya nje- EPZ imewataka wadau wanaotoa huduma kwa ajili ya wawekezaji nchini kuhakikisha wanatoa huduma kikamilifu na kuhakikisha kuwa wawekezaji wanaokuja kuwekeza hapa nchini hawapati usumbufu katika utoaji na usafirishaji wa mizigo yao

Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa maendeleo ya uwekezaji kutoka EPZ zawadia nanyaro wakati alipokuwa akizungumzia changamoto wanazokabiliana nazo wawekezaji wanaokuja kuwekeza hapa nchini kwa ajili ya kuinua uchumi wa nchi.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.