06 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wanawake wachimbaji wametakiwa kujiimarisha katika umoja wao
 
2008-05-06 15:27:26
Na ITV Habari

Wanawake wachimba madini hapa nchini wametakiwa kuimarisha umoja wao pamoja na kutumia vikundi vyao kuomba mikopo mikubwa katika vyombo vya fedha ili waweze kuongeza ufanisi katika biashara zao ikiwemo kuyaboresha madini kabla ya kuyauza ili kuyaongezea thamani ili waweze kuyauza kwa bei ,nzuri zaidi.

Mke wa rais Mama Salma Kikwete amesema hayo katika maadhimisho ya siku ya wachimba madini hapa nchini iliyoandaliwa na chama cha wanawake wachimba madini hapa nchini -TAWOMA ambaye amewataka kujikita katika mafunzo zaidi ya ukataji na usanifu madini.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.