25 Feb 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

TAG Kijitonyama wamefanya ibada ya kumwomba Mungu aipe serikali ujasiri
 
2008-02-25 16:16:54
Na ITV Habari

Waumini wa kanisa la Tanzania Assemblis of God - TAG Kijitonyama wamefanya ibada ya kumwomba Mungu aipe ujasiri serikali iwachukulie hatua mafisadi na kupunguza gharama za umeme .

Ibada hiyo iliyofanyika kwa muda wa masaa mawili ikiongozwa na mzee kiongozi wa kanisa hilao Bw. Deoglas Sallu ambaye amewataka viongozi wa dini kuacha ushabiki wa vyama na kutetea maslahi ya umma.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.