02 Feb 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Sportsnews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Timu ya wavulana ya mpira wa meza kutoka Malawi yaongoza
 
2008-02-02 11:38:14
By ITV Habari

Timu ya wavulana ya mpira wa meza kutoka Malawi imeendelea kuongoza katika mashindano ya wazi yanayoendelea jijini Dar es Salaam.

Kwa upande wa wanaume chini ya umri wa miaka 18, wachezaji Kingwel Kaunda na Abel Somba kutoka Malawi wamefikia hatua ya nusu fainali.

Ama kwa upande wa wasichana, waliofanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ni Afuweni Sam kutoka Malawi na Neema Mwisiyula kutoka Tanzania.

  • SOURCE: ITV
TODAY
-----------------------------------------------
Editorial
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.