17 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Serikali ya Kenya imekiri kuwa ukabila ni tatizo la kitaifa
 
2008-05-17 14:56:24
Na EAR Habari

Hatimae Serikali ya Kenya imekiri kuwa ukabila ni tatizo la kitaifa ambalo linahitaji juhidi za pamoja na za dhati ili kukabiliana nalo.

Mswaada uliochapishwa wiki hii wa kuanzishwa kwa kamisheni ya maadili ya taifa na mahusiano ya kitabaka ni matokeo ya kukubali kuwa ufumbuzi wa kuleta amani utapatikana pale tu kutakapokuwa na utayari wa fursa sawa kwa wote.

Mswaada huo unataka kuipa serikali mamlaka ya kushughulikia kikamilifu matukio mabaya ya kikabila ambayo yamekuwa yakijitokeza katika maeneo mengi nchini.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.