17 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Umuhimu wa hitaji kwa wakulima ya kuwa na miundombinu bora ya kupata maji
 
2008-05-17 14:54:42
Na EAR Habari

Juhudi za kimataifa za kuinua maendeleo ya kilimo ili kukabiliana na kupanda bei kwa chakula hakutafanikiwa ikiwa upatikanaji wa maji katika Africa hautaboreshwa.

Kauli hiyo imetolewa makao makuu ya umoja wa mataifa jijini New York nchini Marekani baada ya mkutano wa siku tatu wa mawaziri wa Kilimo, maji ardhi na mazingira kutoka nchi mbali mbali duniani.

Waziri wa mauala ya maji nchini Africa kusini Lindiwe Hendricks aliuambia mkutano huo umuhimu wa hitaji kwa wakulima ya kuwa na miundombinu bora ya kupata maji.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.