|
Serikali ya Burma ina hatia dhidi ya kukataa kuruhusu misaada kuingia nchini humo
2008-05-17 14:52:49
Na EAR Habari
Waziri mkuu wa Uingereza Gordon Brown amesema kwa serikali ya Burma ina hatia dhidi ya utu baada ya kukataa kuruhusu misaada kuingia nchini humo kufutia nchi hiyi kukumbwa na kimbunga Nargis.
Waziri mkuu amasema mkasa huo umegeuka na kuwa janga lililotengenezwa na wanadamu na hivyo utawala huo wa kijeshi unatakiwa kuwajibika kwa uzembe.
Shuguma zimongezeka dhidi ya serikali ya nchi hiyuo kwa jinsi ilivyoshughulikia janga hilo mapema mwezi huu na kusababisha vifo vya watu 78,000.
|