16 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Ndoa za jinsia moja nchini Marekani ni kinyume cha katiba
 
2008-05-16 15:25:41
Na EAR Habari

Mahakama ya juu katika jimbo la California nchini Marekani imeamua kwamba sheria katika jimbo hilo inayyozuia ndoa ya jinsia moja kuwa ni kinyume cha katiba.

Mahakama hiyo katika uamuzi wake imesema kuwa haki ya kuanzisha uhusiano wa familia inawahusu wakazi wote wa jimbo hilo bila kujali jinsia zao.

Marufuku hiyo iliidhinishwa na wapika kura mwaka 2000 lakini ilipingwa na wanaharakati mashoga na mamlaka ya mji wa San Francisco, na mara mbili bunge jimboni humo liliruhusu ndoa ya mashoga lakini gavana wa jimbo hilo Arnold Schwarzenegger alitumia kura ya turufu kupinga.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.