16 Jul 2006 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Uganda na waasi yameingia siku ya tatu
 
2006-07-16 18:59:50
Na EAR Habari

Mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Uganda na waasi wa Lord’s Resistance Army LRA, leo yameingia siku ya tatu ya majadiliano ya kina, baada ya kufunguliwa rasmi ijumaa iliyopita.

Katika mazungumzo hayo ujumbe wa serikali ya Uganda unaongozwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Dakta Ruhakana Rugunda, wakati waasi hao wanaongozwa na Bw. Martin Ojul.

Mazungumzo hayo yanafuatiliwa na makundi mengi, ambapo iwapo yatafanikiwa, yatafanikisha kumaliza vurugu na mateso yaliyodumu kwa miaka 20, kwa wananchi waishio kaskazini mwa Uganda.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2005 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.