Saturday May 25, 2013
| Text Size
[-]
[+]
Pekua IPPmedia

Maoni ya Mhariri »

Kamati`imeroga`Taifa Stars

Kamati ya Operesheni Ushindi ya timu ya taifa ya soka ilitoa "hamasa" ya sh. milioni 30 kwa Taifa Stars katikati ya wiki, kwa ajili ya mechi ya Juni 8 ya michuano ya awali ya Kombe la Dunia dhidi ya Morocco Habari Kamili

Kura ya Maoni»

Getting poll results. Please wait...

Safu »

MTAZAMO YAKINIFU: Kujivua gamba, tegemeo la uhai wa CCM
MTAZAMO YAKINIFU: Kukamata makahaba tunatatua tatizo gani?
MAISHA NDIVYO YALIVYO: Kwanini wanawake wahonge wanaume?
Familia ya Mariam Abdllah,Mkazi wa mtaa wa Mtawike,kata ya Magomeni Mtwara,ikiwa chini ya baada ya nyumba yao kuteketezwa kwa moto na watu wasiojulikana katika ghasia zilizozuka ambapo baadhi ya wanachi wanapinga kusafirishwa kwa gesi asilia kutoka Mtwara kwenda Dar es salaam.

Vurugu Mtwara:Kashfa nzito polisi

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, limeingia katika kashfa ya matumizi makubwa ya nguvu kwa kufanya vitendo vya udhalilishaji na kuua raia kwa risasi Habari Kamili

Biashara »

NBC Kuanzisha Huduma Za Mikopo Kwa Wafanyakazi

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kupitia kitengo chake cha huduma za kibenki zinazofuata kanuni za kifedha za Kiislamu inatarajia kuanzisha huduma ya mikopo kwa wafanyakazi (Islamic Group Finance)  kabla ya Septemba mwaka huu Habari Kamili

Michezo »

JK: Morocco Wanafungika Kwao­

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amewaambia wachezaji wa timu ya taifa ya soka (Taifa stars) kwamba wanaweza kuwafunga tena Morocco katika mechi yao ya marudiano ya kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2014 mjini Marrakech kama walivyowafunga jijini Dar es Salaam katika mechi yao ya awali Habari Kamili

Makala »

Picha za Wiki »

Vibonzo »

Pata kibonzo chako kila siku toka kwa Kabwela, the Flexibles na Dogo

Luninga na Redio»